Swali: Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kabla ya Tasliym mtu akaandika Du´aa na akaishika na kuzisoma?
Jibu: Azihifadhi na asiziandike. Ni tatizo kuzisoma ndani ya Swalah. Baadhi ya wanachuoni wamefikia kusema hata ni jambo halikuwekwa katika Shari´ah kusoma ndani ya msahafu. Haijuzu kusoma ndani ya msahafu kwenye Swalah midhali hakuna haja. Azihifadhi Du´aa anazoweza na asiandike kwenye karatasi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14340127.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kabla ya Tasliym mtu akaandika Du´aa na akaishika na kuzisoma?
Jibu: Azihifadhi na asiziandike. Ni tatizo kuzisoma ndani ya Swalah. Baadhi ya wanachuoni wamefikia kusema hata ni jambo halikuwekwa katika Shari´ah kusoma ndani ya msahafu. Haijuzu kusoma ndani ya msahafu kwenye Swalah midhali hakuna haja. Azihifadhi Du´aa anazoweza na asiandike kwenye karatasi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir–14340127.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/kusoma-duaa-kwenye-karatasi-ndani-ya-swalah/