Swali: Kutafuta elimu ni katika Jihaad. Je, yule anayeingia katika kutafuta elimu kisha akaacha anaingia katika matishio (ya kupata adhabu ya Allaah)?
Jibu: Hapana, haingii katika matishio. Lakini kuacha kutafuta elimu ndani yake kuna aina ya ukengeukaji. Ni mwenye kulaumika.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (48) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-04-15.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)