Swali: Vipi mayahudi watakuwa ni wenye uadui mkubwa kwa waumini pamoja na hivo iwe ni jambo lenye kuwezekana kuoa kwao?
Jibu: Hili ni jambo limewekwa katika Shari´ah na Allaah (´Azza wa Jalla). Hii ni Shari´ah ya Allaah kwa kuwa wanaamini Manabii kwa jumla na vitabu. Wao sio kama waabudu masanamu ambao hawamwamini Nabii wala kitabu chochote.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (48) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-04-15.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Vipi mayahudi watakuwa ni wenye uadui mkubwa kwa waumini pamoja na hivo iwe ni jambo lenye kuwezekana kuoa kwao?
Jibu: Hili ni jambo limewekwa katika Shari´ah na Allaah (´Azza wa Jalla). Hii ni Shari´ah ya Allaah kwa kuwa wanaamini Manabii kwa jumla na vitabu. Wao sio kama waabudu masanamu ambao hawamwamini Nabii wala kitabu chochote.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (48) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-04-15.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/vipi-itajuzu-kuwaoa-mayahudi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)