57 – al-Husayn bin Ismaa´iyl ametuhadithia: Ahmad bin Mansuur ametuhadithia: Shurayh bin an-Nu´maan ametuhadithia: Abu ´Awaanah ametuhadithia, kutoka kwa Abu Ishaaq, kutoka kwa Abu Muslim al-Agharr aliyesema:
“Namshuhudilia Abu Hurayrah na Abu Sa´iyd al-Khudriy kwamba wawili hao wamemshuhudilia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba amesema: “Allaah (´Azza wa Jall) anatoa muhula mpaka kunapopita theluthi ya usiku ndipo hushuka na husema: “Je, kuna mwenye kuomba apewe? Je, kuna mwenye kuomba msamaha kutokamana na dhambi? Je, kuna mwenye kuomba ajibiwe?”
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 134
- Imechapishwa: 26/04/2020
57 – al-Husayn bin Ismaa´iyl ametuhadithia: Ahmad bin Mansuur ametuhadithia: Shurayh bin an-Nu´maan ametuhadithia: Abu ´Awaanah ametuhadithia, kutoka kwa Abu Ishaaq, kutoka kwa Abu Muslim al-Agharr aliyesema:
“Namshuhudilia Abu Hurayrah na Abu Sa´iyd al-Khudriy kwamba wawili hao wamemshuhudilia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba amesema: “Allaah (´Azza wa Jall) anatoa muhula mpaka kunapopita theluthi ya usiku ndipo hushuka na husema: “Je, kuna mwenye kuomba apewe? Je, kuna mwenye kuomba msamaha kutokamana na dhambi? Je, kuna mwenye kuomba ajibiwe?”
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 134
Imechapishwa: 26/04/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abu-saiyd-na-abu-hurayrah-06/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket