48 – Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: ´Abdullaah bin Muhammad bin Ziyaad ametuhadithia: Ya´quub bin Ishaaq al-Faluusiy ametuhadithia: Bakr bin Yahyaa bin Zibaan ametuhadithia: Musaddad ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Ishaaq, kutoka kwa Sa´iyd al-Maqbariy, kutoka kwa ´Atwaa’, kutoka kwa Abu Hurayrah ambaye ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kunapopita nusu ya usiku ya kwanza basi Allaah (´Azza wa Jall) anashuka katika mbingu ya dunia na anasema mpaka alfajiri inaingiai: “Hakuna mwenye kuuliza apewe? Hakuna mwenye kuomba ajibiwe? Hakuna mgonjwa aponywe? Hakuna mtenda dhambi mwenye kuomba msamaha asamehewe?”
Muhammad bin Abiy Bakr bin ´Adiy pia ameipokea kutoka kwa Muhammad bin Ishaaq Sa´iyd al-Maqbariy ambaye amesema: Kutoka kwa ´Atwaa’, mtumwa wa Umm Swafiyyah, kutoka kwa Abu Hurayrah. Kumejitokeza kosa la chapa hapo. Sahihi ni mtumwa wa Umm Swubayyah.
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 128
- Imechapishwa: 09/03/2020
48 – Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: ´Abdullaah bin Muhammad bin Ziyaad ametuhadithia: Ya´quub bin Ishaaq al-Faluusiy ametuhadithia: Bakr bin Yahyaa bin Zibaan ametuhadithia: Musaddad ametuhadithia, kutoka kwa Ibn Ishaaq, kutoka kwa Sa´iyd al-Maqbariy, kutoka kwa ´Atwaa’, kutoka kwa Abu Hurayrah ambaye ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kunapopita nusu ya usiku ya kwanza basi Allaah (´Azza wa Jall) anashuka katika mbingu ya dunia na anasema mpaka alfajiri inaingiai: “Hakuna mwenye kuuliza apewe? Hakuna mwenye kuomba ajibiwe? Hakuna mgonjwa aponywe? Hakuna mtenda dhambi mwenye kuomba msamaha asamehewe?”
Muhammad bin Abiy Bakr bin ´Adiy pia ameipokea kutoka kwa Muhammad bin Ishaaq Sa´iyd al-Maqbariy ambaye amesema: Kutoka kwa ´Atwaa’, mtumwa wa Umm Swafiyyah, kutoka kwa Abu Hurayrah. Kumejitokeza kosa la chapa hapo. Sahihi ni mtumwa wa Umm Swubayyah.
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 128
Imechapishwa: 09/03/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abu-hurayrah-36/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)