Swali: Ni ipi hukumu ya kusherehekea usiku wa ishirini na saba Ramadhaan peke yake?
Jibu: Kusherehekea usiku wa ishirini na saba peke yake ni Bid´ah iliyozushwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Atakayezusha katika dini yetu hii yasiyokuwemo atarudishiwa mwenyewe.”
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
Kilichowekwa katika Shari´ah ni kuuhuisha [usiku huo] kwa ´ibaadah, swadaqah na kadhalika kama masiku kumi mengineyo.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (3/41)
- Imechapishwa: 23/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kusherehekea usiku wa ishirini na saba Ramadhaan peke yake?
Jibu: Kusherehekea usiku wa ishirini na saba peke yake ni Bid´ah iliyozushwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Atakayezusha katika dini yetu hii yasiyokuwemo atarudishiwa mwenyewe.”
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
Kilichowekwa katika Shari´ah ni kuuhuisha [usiku huo] kwa ´ibaadah, swadaqah na kadhalika kama masiku kumi mengineyo.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (3/41)
Imechapishwa: 23/08/2020
https://firqatunnajia.com/kusherehekea-siku-ya-27-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)