Swali: Ni ipi hukumu ya kunyanyua sauti kwa kusema “Aamiyn” katika swalah ya Dhuhr?
Jibu: Hatujui dalili kutoka katika Qur-aan, Sunnah wala matendo ya makhaliyfah wanne yanayojulisha juu ya kufaa kufanya hivo. Imethibiti kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba amesema:
“Yeyote atakayefanya kitendo kisichoafikiana na amri yetu basi atarudishiwa mwenyewe.”
Anayesema kuwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah basi aombwe dalili. Hakika si venginevyo kusema “Aamiyn” kwa sauti ya juu ni jambo maalum linalokuwa katika kisomo katika swalah za kusoma kwa sauti ya juu kwa imamu na maamuma.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/121)
- Imechapishwa: 17/10/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kunyanyua sauti kwa kusema “Aamiyn” katika swalah ya Dhuhr?
Jibu: Hatujui dalili kutoka katika Qur-aan, Sunnah wala matendo ya makhaliyfah wanne yanayojulisha juu ya kufaa kufanya hivo. Imethibiti kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba amesema:
“Yeyote atakayefanya kitendo kisichoafikiana na amri yetu basi atarudishiwa mwenyewe.”
Anayesema kuwa ni jambo limewekwa katika Shari´ah basi aombwe dalili. Hakika si venginevyo kusema “Aamiyn” kwa sauti ya juu ni jambo maalum linalokuwa katika kisomo katika swalah za kusoma kwa sauti ya juu kwa imamu na maamuma.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/121)
Imechapishwa: 17/10/2021
https://firqatunnajia.com/kusema-aamiyn-hakukuwi-katika-swalah-za-kusoma-kimyakimya/