Swali: Je, imewekwa katika Shari´ah kusema “Aamiyn” baada ya kumaliza kusoma al-Faatihah nje ya swalah au kusema hivo ni jambo maalum tu ndani ya swalah?
Jibu: Ni sawa kufanya hivo kwa kuwa ni du´aa. al-Faatihah ni du´aa. Kunasemwa “Aamiyn” baada ya du´aa, sawa ikiwa ndani ya swalah au nje yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-3-14.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)