Swali: Vipi kusalimia kwa kuashiria?
Jibu: Kwa kutamka. Lakini ikiwa mtu yuko kwa mbali basi amwashirie ili mtu ajue kuwa anasalimiwa. Aliwapitia wanawake akawaashiria. Muhimu ni kwamba akihitajia kuashiria kutokana na umbali wao, uchache wa kusikia kwao, basi awaashirie sambamba na kuzungumza. Vinginevyo haijuzu kusalimia kwa kuashiria tu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23939/هل-يجوز-السلام-بالاشارة-دون-كلام
- Imechapishwa: 02/08/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket