Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye anarusha vijiwe kwa njia isiyokuwa ya mpangilio akaanza kurusha vijiwe kwenye nguzo kubwa na akamalizia kwa nguzo ndogo?
Jibu: Urushaji wa vijiwe kwenye nguzo ndogo ndio unasihi peke yake. Atatakiwa kurudi kurusha vijiwe kwenye kiguzo cha katikati na mwishowe kwenye nguzo ile kubwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 26/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya ambaye anarusha vijiwe kwa njia isiyokuwa ya mpangilio akaanza kurusha vijiwe kwenye nguzo kubwa na akamalizia kwa nguzo ndogo?
Jibu: Urushaji wa vijiwe kwenye nguzo ndogo ndio unasihi peke yake. Atatakiwa kurudi kurusha vijiwe kwenye kiguzo cha katikati na mwishowe kwenye nguzo ile kubwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 26/06/2020
https://firqatunnajia.com/kurusha-vijiwe-kwa-njia-isiyokuwa-ya-mpangilio/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)