Swali: Ni ipi hukumu ya kununua dhahabu kutoka kwa muuza dhahabu kisha kuibakiza kwake na asiichukue?
Jibu: Akiichukua kisha akairudisha kwake, hakuna neno. Ni lazima aichukue kwanza. Baadaye ndio airudishe kwake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
- Imechapishwa: 02/07/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kununua dhahabu kutoka kwa muuza dhahabu kisha kuibakiza kwake na asiichukue?
Jibu: Akiichukua kisha akairudisha kwake, hakuna neno. Ni lazima aichukue kwanza. Baadaye ndio airudishe kwake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (86) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/NEW.lite_.mp3
Imechapishwa: 02/07/2018
https://firqatunnajia.com/kurudisha-dhahabu-kwa-muuza-dhahabu/