Swali: Ni ipi hukumu ya kuchukua picha kwa video camera? Je, hilo linaingia katika kauli ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Allaah awalaani watengeneza picha”?
Jibu: Ndio, inaingia. Maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni jumla:
“Allaah awalaani watengeneza picha.”
“Kila mtengeneza picha ni Motoni.”
Hakukuvuliwa kitu. Picha haijuzu, sawa ikiwa kwa njia ya video camera wala kifaa kingine. Lakini hata hivyo, baadhi ya wanachuoni wa leo wamefutu kuwa ni sawa kupiga picha wakati wa dharurah. Kwa mfano leseni ya kuendesha, kitambulisho n.k. Hizi ni picha za dharurah ambazo mtu hawezi kujitosheleza nazo kutokana na maslahi yake. Hizi ni picha za dharurah. Zimeruhusiwa kwa dharurah. Yanaruhusiwa kwa dharurah yasiyoruhusiwa kwa mengine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (58) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-01-14.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuchukua picha kwa video camera? Je, hilo linaingia katika kauli ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Allaah awalaani watengeneza picha”?
Jibu: Ndio, inaingia. Maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni jumla:
“Allaah awalaani watengeneza picha.”
“Kila mtengeneza picha ni Motoni.”
Hakukuvuliwa kitu. Picha haijuzu, sawa ikiwa kwa njia ya video camera wala kifaa kingine. Lakini hata hivyo, baadhi ya wanachuoni wa leo wamefutu kuwa ni sawa kupiga picha wakati wa dharurah. Kwa mfano leseni ya kuendesha, kitambulisho n.k. Hizi ni picha za dharurah ambazo mtu hawezi kujitosheleza nazo kutokana na maslahi yake. Hizi ni picha za dharurah. Zimeruhusiwa kwa dharurah. Yanaruhusiwa kwa dharurah yasiyoruhusiwa kwa mengine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (58) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-01-14.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/kupiga-picha-kwa-kutumia-video-camera/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)