Swali: Ambaye anapika nyama yake ya Udhhiyah na akawapa ndugu na majirani zake hali ya kuwa tayari imeshapikwa anazingatiwa ametekeleza Sunnah?
Jibu: Kilichopendekezwa katika ´Iyd-ul-Adhwhaa ni yeye na familia yake wale na kuhifadhi sehemu yake, wawape swadaqah mafukara na masikini na wawazawadie jamaa na majirani. Allaah (Ta´ala) amesema:
فَكُلُوا مِنْهَا وَأَطْعِمُوا الْبَائِسَ الْفَقِيرَ
“Basi kuleni humo na lisheni ambaye ni fakiri mno.”[1]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kuhusu nyama za Udhhiyah:
“Kuleni, hifadhini na toeni swadaqah.”
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalush-Shaykh
Bakr Abu Zayd
[1] 22:28
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (18002)
- Imechapishwa: 27/07/2020
Swali: Ambaye anapika nyama yake ya Udhhiyah na akawapa ndugu na majirani zake hali ya kuwa tayari imeshapikwa anazingatiwa ametekeleza Sunnah?
Jibu: Kilichopendekezwa katika ´Iyd-ul-Adhwhaa ni yeye na familia yake wale na kuhifadhi sehemu yake, wawape swadaqah mafukara na masikini na wawazawadie jamaa na majirani. Allaah (Ta´ala) amesema:
فَكُلُوا مِنْهَا وَأَطْعِمُوا الْبَائِسَ الْفَقِيرَ
“Basi kuleni humo na lisheni ambaye ni fakiri mno.”[1]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kuhusu nyama za Udhhiyah:
“Kuleni, hifadhini na toeni swadaqah.”
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalush-Shaykh
Bakr Abu Zayd
[1] 22:28
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (18002)
Imechapishwa: 27/07/2020
https://firqatunnajia.com/kupeana-nyama-ya-udhhiyah-baada-ya-kuipika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)