Swali: Je, ni lazima kwa mwenye kuingia katika kikao kupeana mkono na mmoja baada ya mmoja?
Jibu: Hapana, hapana. Inatosha akitoa salamu na kukaa pale kinapoishia kikao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23386/هل-يلزم-من-دخل-مجلسا-مصافحة-الجميع
- Imechapishwa: 11/01/2024
Swali: Je, ni lazima kwa mwenye kuingia katika kikao kupeana mkono na mmoja baada ya mmoja?
Jibu: Hapana, hapana. Inatosha akitoa salamu na kukaa pale kinapoishia kikao.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23386/هل-يلزم-من-دخل-مجلسا-مصافحة-الجميع
Imechapishwa: 11/01/2024
https://firqatunnajia.com/kupeana-mkono-na-wote-katika-kikao/