Swali: Kuna mwanaume ameokoa maisha ya mwanamke ambaye ni ajinabi kwake kwa kumpa damu. Je, anahesabika ni dada yake?
Jibu: Hapana. Hili ni kwa mtazamo wa wasiokuwa wasomi ndio wanaona kuwa anakuwa kaka yake. Hili ni kwa mujibu wa wasiokuwa wasomi. Hawi kaka yake isipokuwa kwa kunyonya ndani ya ile miaka miwili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (90) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86%20-15-07-1439.lite__0_0.mp3
- Imechapishwa: 18/08/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket