Swali: Je, kupaka wanja mchana wa Ramadhaan kunafunguza?
Jibu: Maoni yaliyo na nguvu ni kwamba wanja haumfunguzi. Haijalishi kitu hata kama atahisi rangi au ladha yake kwenye koromeo. Hayo yamehakikishwa na Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah). Kwa sababu huku sio kula wala kunywa na wala hakuna maana ya kula na kunywa. Wala kitendo hichi hakifanani na yale ambayo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema kumwambia Laqiytw bin Swabirah:
“Pitiliza katika kupalizia isipokuwa ikiwa umefunga.”
Kwa sababu pua ni mahali ambapo kunaweza kupitishwa vinywaji tumboni. Ni mahali kulikozoeleka kuingiza chakula. Ama jicho sivyo hivyo. Kwa ajili hii mfungaji ana ruhusa ya kupaka wanja japokuwa wanja utafika kwenye koromeo yake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (70) http://binothaimeen.net/content/1564
- Imechapishwa: 01/03/2020
Swali: Je, kupaka wanja mchana wa Ramadhaan kunafunguza?
Jibu: Maoni yaliyo na nguvu ni kwamba wanja haumfunguzi. Haijalishi kitu hata kama atahisi rangi au ladha yake kwenye koromeo. Hayo yamehakikishwa na Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah). Kwa sababu huku sio kula wala kunywa na wala hakuna maana ya kula na kunywa. Wala kitendo hichi hakifanani na yale ambayo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema kumwambia Laqiytw bin Swabirah:
“Pitiliza katika kupalizia isipokuwa ikiwa umefunga.”
Kwa sababu pua ni mahali ambapo kunaweza kupitishwa vinywaji tumboni. Ni mahali kulikozoeleka kuingiza chakula. Ama jicho sivyo hivyo. Kwa ajili hii mfungaji ana ruhusa ya kupaka wanja japokuwa wanja utafika kwenye koromeo yake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (70) http://binothaimeen.net/content/1564
Imechapishwa: 01/03/2020
https://firqatunnajia.com/kupaka-uwanja-mchana-wa-ramadhaan-kunafunguza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)