Swali: Katika mji wetu kuna watu wanaochinja mwanzoni mwa Rajab na wanasema mtu asipofanya hivo basi watoto wake watakufa. Je, hiyo ni shirki?
Jibu: Ndio, hiyo ni shirki:
“Allaah amemlaani mwenye kuchinja kwa ajili ya asiyekuwa Allaah.”
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 27
- Imechapishwa: 18/01/2025
Swali: Katika mji wetu kuna watu wanaochinja mwanzoni mwa Rajab na wanasema mtu asipofanya hivo basi watoto wake watakufa. Je, hiyo ni shirki?
Jibu: Ndio, hiyo ni shirki:
“Allaah amemlaani mwenye kuchinja kwa ajili ya asiyekuwa Allaah.”
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 27
Imechapishwa: 18/01/2025
https://firqatunnajia.com/kuona-kuwa-usipochinja-mwanzoni-mwa-rajab-watoto-wako-watakufa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
