Swali: Ni vitabu vipi unavyopendekeza mtu kusoma katika Tawhiyd na katika kuraddi shirki?
Jibu: Napendekeza vitabu vya wajukuu wawili wa Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab ”Fath-ul-Majiyd” na ”Taysiyr-ul-´Aziyz al-Hamiyd”. Vivyo hivyo kuhusu ”Tatwhiyr-ul-I´tiqaad” cha as-Swan´aaniy na ”ad-Durr an-Nadhwiyd” na ”Sharh-us-Suduur fiy Tahriym Raf´-il-Qubuur” vya ash-Shawkaaniy. Kama kusingelikuwa isipokuwa vitabu hivi viwili… Bal ”Fath-ul-Majiyd” kinatosha kusafisha ´Aqiydah.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 28
- Imechapishwa: 18/01/2025
Swali: Ni vitabu vipi unavyopendekeza mtu kusoma katika Tawhiyd na katika kuraddi shirki?
Jibu: Napendekeza vitabu vya wajukuu wawili wa Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab ”Fath-ul-Majiyd” na ”Taysiyr-ul-´Aziyz al-Hamiyd”. Vivyo hivyo kuhusu ”Tatwhiyr-ul-I´tiqaad” cha as-Swan´aaniy na ”ad-Durr an-Nadhwiyd” na ”Sharh-us-Suduur fiy Tahriym Raf´-il-Qubuur” vya ash-Shawkaaniy. Kama kusingelikuwa isipokuwa vitabu hivi viwili… Bal ”Fath-ul-Majiyd” kinatosha kusafisha ´Aqiydah.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 28
Imechapishwa: 18/01/2025
https://firqatunnajia.com/vitabu-vinavyopendekeza-katika-tawhiyd-na-dhidi-ya-shirki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)