Swali 297: Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu kuomboleza[1] bila mtu kufa?

Jibu: Haitakikani. Huenda ikapelekea kuomboleza wakati wa msiba na huenda ikawa mbaya zaidi wakati wa msiba.

[1] Tazama https://firqatunnajia.com/36-maana-ya-nay/

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 108
  • Imechapishwa: 23/05/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´