Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kuomba talaka, na khaswa wale wanawake wanaofanya hivo kwa wingi, ni mamoja kuna sababu au pasi na sababu?
Jibu: Hadiyth inasema:
”Mwanamke yeyote ambaye ataomba talaka pasi na sababu basi ni haramu kwake harufu ya Pepo.”[1]
Haifai kwake kuomba talaka bila ya sababu.
[1] Abu Daawuud (2226). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh Sunan Abiy Daawuud (2226).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 26/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)