Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba du´aa kwa kunyanyua mikono kati ya adhaana na Iqaamah?
Jibu: Hakuna dalili ya hilo. Hakuna dalili ya kunyanyua mikono kati ya adhaana na Iqaamah. Aombe du´aa bila kunyanyua mikono.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (81) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-1-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 17/02/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba du´aa kwa kunyanyua mikono kati ya adhaana na Iqaamah?
Jibu: Hakuna dalili ya hilo. Hakuna dalili ya kunyanyua mikono kati ya adhaana na Iqaamah. Aombe du´aa bila kunyanyua mikono.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (81) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-1-3-1439-01.mp3
Imechapishwa: 17/02/2018
https://firqatunnajia.com/kuomba-duaa-kwa-kunyanyua-mikono-kati-ya-adhaana-na-iqaamah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)