Swali: Shaykh wetu, nitaoa mwanamke ambaye si msomi. Ni ipi nasaha yako?
Jibu: Ikiwa ni mtu wa Dini haidhuru, sawa akiwa ni msomi au asiyekuwa msomi. “… shikilia (chagua) mwenye sifa za Dini utasalimika.”
- Muhusika: Shaykh Muhammad bin Muhammad al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=fhpy1kuUKVo
- Imechapishwa: 21/03/2018
Swali: Shaykh wetu, nitaoa mwanamke ambaye si msomi. Ni ipi nasaha yako?
Jibu: Ikiwa ni mtu wa Dini haidhuru, sawa akiwa ni msomi au asiyekuwa msomi. “… shikilia (chagua) mwenye sifa za Dini utasalimika.”
Muhusika: Shaykh Muhammad bin Muhammad al-Madkhaliy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=fhpy1kuUKVo
Imechapishwa: 21/03/2018
https://firqatunnajia.com/kuoa-mwanamke-asiyekuwa-na-elimu-ya-dini/