Swali: Baadhi ya watu wanapomaliza Twawaaf-ul-Wadaa’ wanaenda kununua mazawadi kwa ajili ya ndugu na marafiki zao…
Jibu: Mambo ya safari hayana neno hata kama watu watanunua baada ya Twawaaf-ul-Wadaa’. Vivyo hivyo ikiwa mtu atanunua chakula au mahitajio mengine ya safari. Hakuna neno. Hata hivyo Twawaaf-ul-Wadaa’ itatakiwa kurejelewa ikiwa mtu atanunua kitu kwa ajili ya biashara.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 13/06/2020
Swali: Baadhi ya watu wanapomaliza Twawaaf-ul-Wadaa’ wanaenda kununua mazawadi kwa ajili ya ndugu na marafiki zao…
Jibu: Mambo ya safari hayana neno hata kama watu watanunua baada ya Twawaaf-ul-Wadaa’. Vivyo hivyo ikiwa mtu atanunua chakula au mahitajio mengine ya safari. Hakuna neno. Hata hivyo Twawaaf-ul-Wadaa’ itatakiwa kurejelewa ikiwa mtu atanunua kitu kwa ajili ya biashara.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 13/06/2020
https://firqatunnajia.com/kununua-mazawadi-baada-ya-twawaaf-ul-wadaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)