Swali: Kutoanza kuwatolea salamu makafiri inawahusu mayahudi peke yao au wanaingia pia manaswara?
Jibu: Manaswara na makafiri wengine wote. Kuna tamko lisemalo:
“Msianze kuwatolea salamu mayahudi wala manaswara.”
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Wanapokusalimieni watu wa Kitabu… ”
Watu wa Kitabu ni tamko lenye kuenea.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24250/هل-عدم-ابتداء-اهل-الكتاب-بالسلام-عام
- Imechapishwa: 20/09/2024
Swali: Kutoanza kuwatolea salamu makafiri inawahusu mayahudi peke yao au wanaingia pia manaswara?
Jibu: Manaswara na makafiri wengine wote. Kuna tamko lisemalo:
“Msianze kuwatolea salamu mayahudi wala manaswara.”
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Wanapokusalimieni watu wa Kitabu… ”
Watu wa Kitabu ni tamko lenye kuenea.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24250/هل-عدم-ابتداء-اهل-الكتاب-بالسلام-عام
Imechapishwa: 20/09/2024
https://firqatunnajia.com/kunawahusu-pia-manaswara/