587 – Shaykh aliulizwa kuhusu uombezi katika kesi iliyofikishwa polisi?
Jibu: Dhahiri ni kwamba uombezi ni haramu. Adhabu zisizo za hududu jambo lake ni sahali[1].
[1] Shaykh wetu Ibn ´Uthaymiyn amesema:
”Iwapo adhabu itawafikia polisi, basi uombezi haukubaliwi. Kwa sababu imeshamfikia mtawala.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 207
- Imechapishwa: 10/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket