587 – Shaykh aliulizwa kuhusu uombezi katika kesi iliyofikishwa polisi?
Jibu: Dhahiri ni kwamba uombezi ni haramu. Adhabu zisizo za hududu jambo lake ni sahali[1].
[1] Shaykh wetu Ibn ´Uthaymiyn amesema:
”Iwapo adhabu itawafikia polisi, basi uombezi haukubaliwi. Kwa sababu imeshamfikia mtawala.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 207
- Imechapishwa: 10/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
587 – Shaykh aliulizwa kuhusu uombezi katika kesi iliyofikishwa polisi?
Jibu: Dhahiri ni kwamba uombezi ni haramu. Adhabu zisizo za hududu jambo lake ni sahali[1].
[1] Shaykh wetu Ibn ´Uthaymiyn amesema:
”Iwapo adhabu itawafikia polisi, basi uombezi haukubaliwi. Kwa sababu imeshamfikia mtawala.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 207
Imechapishwa: 10/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/kumwombea-mtu-msamaha-kesi-ambayo-imeshafika-idara-ya-polisi-ii/