Kumwombea mtu msamaha kesi ambayo imeshafika idara ya polisi

586 – Je, uombezi unafaa suala likifika kwa polisi au kwa idara ya kuzuia maovu?

Jibu: Hapana, wao ni wawakilishi wa mtawala. Uombezi na msamaha unakuwa kabla ya hapo.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 207
  • Imechapishwa: 10/06/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´