Swali: Inajuzu kumwita Shaykh kwa kuachia jina ´maulama`?
Jibu: Haifai. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mmoja wenu asiseme ´Ee maulana wangu fulani`. Allaah ndiye maulana Wenu.” (Muslim (2249)).
Vinginevyo mtumwa ni mwenye kumilikiwa. Lakini hata hivyo kwa mtumwa ambaye anamilikiwia ni sawa akasema “bwana wangu” na “maulana wangu.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 26-27
- Imechapishwa: 02/11/2016
Swali: Inajuzu kumwita Shaykh kwa kuachia jina ´maulama`?
Jibu: Haifai. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mmoja wenu asiseme ´Ee maulana wangu fulani`. Allaah ndiye maulana Wenu.” (Muslim (2249)).
Vinginevyo mtumwa ni mwenye kumilikiwa. Lakini hata hivyo kwa mtumwa ambaye anamilikiwia ni sawa akasema “bwana wangu” na “maulana wangu.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 26-27
Imechapishwa: 02/11/2016
https://firqatunnajia.com/kumwita-mtu-maulana-wangu/