Swali: Inajuzu kumwita mtu ´bwana wangu`?
Jibu: Kusema ´bwana wangu` ni jambo sahali. Lakini hata hivyo kuliacha ndio bora zaidi. Lakini kusema ´bwana wangu` haina neno. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika mwana wangu huu ni bwana.” al-Bukhaariy (2704).
Akimaanisha al-Husayn. Vilevile alikuwa akiuliza kuhusu wale wakuu wa makabila ni nani ambaye ni bwana wa wana fulani. Ni nani bwana wa wana fulani? Anasema hivo akimaanisha mkuu wao. Vilevile alimwambia Sa´d bin Mu´aadh:
“Simameni kwa ajili ya bwana wenu.”
Pindi alipokuja kuwahukumu Banuu Quraydwah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 27
- Imechapishwa: 02/11/2016
Swali: Inajuzu kumwita mtu ´bwana wangu`?
Jibu: Kusema ´bwana wangu` ni jambo sahali. Lakini hata hivyo kuliacha ndio bora zaidi. Lakini kusema ´bwana wangu` haina neno. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika mwana wangu huu ni bwana.” al-Bukhaariy (2704).
Akimaanisha al-Husayn. Vilevile alikuwa akiuliza kuhusu wale wakuu wa makabila ni nani ambaye ni bwana wa wana fulani. Ni nani bwana wa wana fulani? Anasema hivo akimaanisha mkuu wao. Vilevile alimwambia Sa´d bin Mu´aadh:
“Simameni kwa ajili ya bwana wenu.”
Pindi alipokuja kuwahukumu Banuu Quraydwah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 27
Imechapishwa: 02/11/2016
https://firqatunnajia.com/kumwita-mtu-bwana-wangu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)