Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Dalili ni maneno Yake (Ta´ala):
فَإِذَا رَكِبُوا فِي الْفُلْكِ دَعَوُا اللَّـهَ مُخْلِصِينَ لَهُ الدِّينَ فَلَمَّا نَجَّاهُمْ إِلَى الْبَرِّ إِذَا هُمْ يُشْرِكُونَ
“Wanapopanda merikebu [wakakumbwa na misukosuko] basi humwomba Allaah kwa kumtakasia Yeye dini. Lakini anapowaokoa [kwa kuwafikisha salama] nchikavu, tahamaki hao wanamshirikisha.” (29:65)
MAELEZO
Shaykh ametaja dalili kuonyesha kuwa washirikina waliokuja nyuma wana shirki kubwa na ya khatari zaidi kuliko washirikina wa kale, kwa sababu washirikina wa kale walikuwa wakimtakasia ´ibaadah Allaah katika kipindi cha shida na wakimshirikisha wakati wa raha. Amejengea hoja maneno Yake (Ta´ala):
فَإِذَا رَكِبُوا فِي الْفُلْكِ دَعَوُا اللَّـهَ مُخْلِصِينَ لَهُ الدِّينَ
“Wanapopanda merikebu [wakakumbwa na misukosuko] basi humwomba Allaah kwa kumtakasia Yeye dini.”
Swalah na amani zimwendee Mtume wetu Muhammad, kizazi chake na Maswahabah zake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Qawaa´id al-Arba´ah, uk. 35
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Dalili ni maneno Yake (Ta´ala):
فَإِذَا رَكِبُوا فِي الْفُلْكِ دَعَوُا اللَّـهَ مُخْلِصِينَ لَهُ الدِّينَ فَلَمَّا نَجَّاهُمْ إِلَى الْبَرِّ إِذَا هُمْ يُشْرِكُونَ
“Wanapopanda merikebu [wakakumbwa na misukosuko] basi humwomba Allaah kwa kumtakasia Yeye dini. Lakini anapowaokoa [kwa kuwafikisha salama] nchikavu, tahamaki hao wanamshirikisha.” (29:65)
MAELEZO
Shaykh ametaja dalili kuonyesha kuwa washirikina waliokuja nyuma wana shirki kubwa na ya khatari zaidi kuliko washirikina wa kale, kwa sababu washirikina wa kale walikuwa wakimtakasia ´ibaadah Allaah katika kipindi cha shida na wakimshirikisha wakati wa raha. Amejengea hoja maneno Yake (Ta´ala):
فَإِذَا رَكِبُوا فِي الْفُلْكِ دَعَوُا اللَّـهَ مُخْلِصِينَ لَهُ الدِّينَ
“Wanapopanda merikebu [wakakumbwa na misukosuko] basi humwomba Allaah kwa kumtakasia Yeye dini.”
Swalah na amani zimwendee Mtume wetu Muhammad, kizazi chake na Maswahabah zake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Qawaa´id al-Arba´ah, uk. 35
https://firqatunnajia.com/14-hitimisho/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)