Swali: Kumwita mtu aliyekulea “Baba” kwa njia ya kumuheshimu.
Jibu: Kujinasibisha kwa asiyekuwa baba yako ni dhambi kubwa. Haifai kwake kuleta msemo huu. Kwa sababu inafanana na yule mwenye kujinasibisha kwa asiyekuwa baba yake.
Ama akisema hivi kwa njia ya kumuadhimisha na kumheshimu, kama jinsi anavomwambia mtu mzima “ee baba yangu”, “ee ami” au kama anavomwambia mwanachuoni “ee baba” na mfano wa hivo – kwa njia ya heshima – haina neno Allaah akitaka.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-4-13.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Kumwita mtu aliyekulea “Baba” kwa njia ya kumuheshimu.
Jibu: Kujinasibisha kwa asiyekuwa baba yako ni dhambi kubwa. Haifai kwake kuleta msemo huu. Kwa sababu inafanana na yule mwenye kujinasibisha kwa asiyekuwa baba yake.
Ama akisema hivi kwa njia ya kumuadhimisha na kumheshimu, kama jinsi anavomwambia mtu mzima “ee baba yangu”, “ee ami” au kama anavomwambia mwanachuoni “ee baba” na mfano wa hivo – kwa njia ya heshima – haina neno Allaah akitaka.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-4-13.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/kumwita-mtu-aliyekulea-baba-kwa-njia-ya-kumuheshimu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
