Swali: Je, Peponi kuna maamrisho ya kushusha macho chini [kutowaangalia wanawake]? Je, ni sahihi ya kwamba al-Huur al-´Ayn hawawi wakubwa na wala hawabadiliki?
Jibu: Hatusemi kitu isipokuwa kilichothibiti kwa dalili. Peponi hakuna mambo ya kuwakodolea macho wanawake kama Alivyoamrisha Allaah:
قُل لِّلْمُؤْمِنِينَ يَغُضُّوا مِنْ أَبْصَارِهِمْ
“Waambie Waumini wanaume wainamishe macho yao [wasitazame yaliyoharamishwa kwao].” (24:30)
Watu wa Peponi watakuwa wenye kukinaika. Hawatokuwa na haja ya kukodoa macho kwa kuwa Peponi mna neema ambazo hazitowapatia nafasi ya kusema watazama kadhaa na kadhaa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-4-13.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Je, Peponi kuna maamrisho ya kushusha macho chini [kutowaangalia wanawake]? Je, ni sahihi ya kwamba al-Huur al-´Ayn hawawi wakubwa na wala hawabadiliki?
Jibu: Hatusemi kitu isipokuwa kilichothibiti kwa dalili. Peponi hakuna mambo ya kuwakodolea macho wanawake kama Alivyoamrisha Allaah:
قُل لِّلْمُؤْمِنِينَ يَغُضُّوا مِنْ أَبْصَارِهِمْ
“Waambie Waumini wanaume wainamishe macho yao [wasitazame yaliyoharamishwa kwao].” (24:30)
Watu wa Peponi watakuwa wenye kukinaika. Hawatokuwa na haja ya kukodoa macho kwa kuwa Peponi mna neema ambazo hazitowapatia nafasi ya kusema watazama kadhaa na kadhaa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-4-13.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/hatusemi-lolote-kuhusu-pepo-isipokuwa-kwa-dalili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)