Swali: Wakati fulani natoa swadaqah na kunuia thawabu ya swadaqah hiyo zimwendee mama yangu. Nikimweleza inahesabika ni kujionyesha?
Jibu: Ukimweleza ili umtulize na kumfurahisha, haina neno. Hata hivyo haijuzu kumweleza ili ujifakhari kwa hilo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
- Imechapishwa: 07/11/2016
Swali: Wakati fulani natoa swadaqah na kunuia thawabu ya swadaqah hiyo zimwendee mama yangu. Nikimweleza inahesabika ni kujionyesha?
Jibu: Ukimweleza ili umtulize na kumfurahisha, haina neno. Hata hivyo haijuzu kumweleza ili ujifakhari kwa hilo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
Imechapishwa: 07/11/2016
https://firqatunnajia.com/kumweleza-mama-swadaqah-uliyomtolea/