Swali 17: Ni ipi hukumu ya kuweka Sutrah kwenye swalah pamoja na kunitajia dalili? Je, Hadiyth inayosema kuchora msitari katika Sutrah ni Swahiyh au hapana? Je, ni miongoni mwa Sunnah kumwekea Sutrah ambaye hakujiwekea?
Jibu: Kuhusu kuweka Sutrah maoni sahihi ni kwamba ni lazima. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ataposwali mmoja wenu basi aswali kwa kuelekea Sutrah na aisogelee.”
Kuhusu Hadiyth ya kupiga msitari ni dhaifu.
Ukimuona nduguyo anaswali pasi na kuweka Sutrah ambapo ukamuwekea ni jambo ambalo halina neno. Ni miongoni mwa kusaidiana katika mambo ya kheri na kufunza.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tuhfat-ul-Mujiyb, uk. 138-139
- Imechapishwa: 23/12/2019
Swali 17: Ni ipi hukumu ya kuweka Sutrah kwenye swalah pamoja na kunitajia dalili? Je, Hadiyth inayosema kuchora msitari katika Sutrah ni Swahiyh au hapana? Je, ni miongoni mwa Sunnah kumwekea Sutrah ambaye hakujiwekea?
Jibu: Kuhusu kuweka Sutrah maoni sahihi ni kwamba ni lazima. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ataposwali mmoja wenu basi aswali kwa kuelekea Sutrah na aisogelee.”
Kuhusu Hadiyth ya kupiga msitari ni dhaifu.
Ukimuona nduguyo anaswali pasi na kuweka Sutrah ambapo ukamuwekea ni jambo ambalo halina neno. Ni miongoni mwa kusaidiana katika mambo ya kheri na kufunza.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tuhfat-ul-Mujiyb, uk. 138-139
Imechapishwa: 23/12/2019
https://firqatunnajia.com/kumuwekea-mswaliji-sutrah-na-kupiga-msitari/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)