Swali: Imekatazwa kumuuliza mtu kwa nini amemtaliki mke wake kama jinsi imevyokatazwa kumuuliza kwa nini amempiga?
Jibu: Kuna faida gani ya kumuuliza kwa nini amempiga na kumtaliki? Faida iko wapi? Ikiwa muulizaji ni Muftiy anataka kutazama kama anaweza kutengeneza hali, hakuna neno. Ama mtu wa kawaida kwa nini ajiingize!! Huku ni kujiingiza kwa mambo yasiyokuhusu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (37) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-12-29.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Imekatazwa kumuuliza mtu kwa nini amemtaliki mke wake kama jinsi imevyokatazwa kumuuliza kwa nini amempiga?
Jibu: Kuna faida gani ya kumuuliza kwa nini amempiga na kumtaliki? Faida iko wapi? Ikiwa muulizaji ni Muftiy anataka kutazama kama anaweza kutengeneza hali, hakuna neno. Ama mtu wa kawaida kwa nini ajiingize!! Huku ni kujiingiza kwa mambo yasiyokuhusu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (37) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-12-29.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/kumuuliza-mtu-sababu-ya-kumtaliki-mke-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)