Swali 277: Ni ipi hukumu ya msichana ambaye ameozeshwa na baba yake bila ya ridhaa yake pamoja na kwamba ni mtumzima na tayari yuko na mume mwengine?
Jibu: Hali ikiwa kama mlivyotaja basi ndoa yake ya mwisho si sahihi. Miongoni mwa sharti za ndoa ni kuridhia kwa mume na mke. Mwanamke mtumzima (ath-Thayyib) halazimishwi na baba yake akiwa ameshapitisha miaka tisa, jambo ambalo kuna makubaliano juu yake.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 264
- Imechapishwa: 23/08/2019
Swali 277: Ni ipi hukumu ya msichana ambaye ameozeshwa na baba yake bila ya ridhaa yake pamoja na kwamba ni mtumzima na tayari yuko na mume mwengine?
Jibu: Hali ikiwa kama mlivyotaja basi ndoa yake ya mwisho si sahihi. Miongoni mwa sharti za ndoa ni kuridhia kwa mume na mke. Mwanamke mtumzima (ath-Thayyib) halazimishwi na baba yake akiwa ameshapitisha miaka tisa, jambo ambalo kuna makubaliano juu yake.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 264
Imechapishwa: 23/08/2019
https://firqatunnajia.com/kumuozesha-kwa-nguvu-mwanamke-mtumzima-aliye-na-zaidi-ya-miaka-tisa/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket