Swali: Kuna mtu anauliza kuhusu baba yake ambaye amekufa katika imani ya Suufiyyah inapokuja katika nyuradi, dhikiri na swalah zao. Hakuna yeyote aliyemnasihi baba yangu ya kwamba mfumo huu sio mfumo wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Je, nimuombee msamaha?
Jibu: Muombee du´aa na msamaha ikiwa haikufikia kiwango cha shirki, ana madhambi na maasi ambayo ni chini ya shirki. Ama ikiwa alikuwa anamshirikisha Allaah na anaomba wengine badala ya Allaah, usimuombee.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (50) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-6-10.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Kuna mtu anauliza kuhusu baba yake ambaye amekufa katika imani ya Suufiyyah inapokuja katika nyuradi, dhikiri na swalah zao. Hakuna yeyote aliyemnasihi baba yangu ya kwamba mfumo huu sio mfumo wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Je, nimuombee msamaha?
Jibu: Muombee du´aa na msamaha ikiwa haikufikia kiwango cha shirki, ana madhambi na maasi ambayo ni chini ya shirki. Ama ikiwa alikuwa anamshirikisha Allaah na anaomba wengine badala ya Allaah, usimuombee.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (50) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-6-10.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/kumuombea-duaa-mzazi-aliyekufa-katika-bidah-za-suufiyyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)