Swali: Je, inafaa kwa mswaliji wakati anapopita kwenye kisomo chake kutaja Pepo na Moto akamuomba Allaah amwingize Peponi na akamuomba amkinga kutokamana na Moto? Je, katika hilo ipo tofauti kati ya maamuma na mtu anayeswali peke yake?
Jibu: Ndio, inafaa kufanya hivo. Hakuna tofauti kati ya imamu, anayeswali peke yake na maamuma. Isipokuwa tu kwa maamuma imewekwa sharti jambo hilo lisimshughulishe kunyamaza ambako yeye ameamrishwa.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 344
- Imechapishwa: 09/05/2020
Swali: Je, inafaa kwa mswaliji wakati anapopita kwenye kisomo chake kutaja Pepo na Moto akamuomba Allaah amwingize Peponi na akamuomba amkinga kutokamana na Moto? Je, katika hilo ipo tofauti kati ya maamuma na mtu anayeswali peke yake?
Jibu: Ndio, inafaa kufanya hivo. Hakuna tofauti kati ya imamu, anayeswali peke yake na maamuma. Isipokuwa tu kwa maamuma imewekwa sharti jambo hilo lisimshughulishe kunyamaza ambako yeye ameamrishwa.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 344
Imechapishwa: 09/05/2020
https://firqatunnajia.com/kumuomba-allaah-pepo-na-kukingwa-na-moto-ndani-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)