Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba kwa wingi:
“Ee Allaah! Niingize Peponi bila hesabu wala adhabu?”
Kwa vile haikupokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Jibu: Huku ni kuchupa mipaka katika kuomba du´aa. Kwa sababu inatambulika kwamba wale watakaoingia Peponi bila hesabu wala adhabu wamehakikisha sharti maalum. Kilichopokelewa ni:
اللهم إني أسألك الجنة
“Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba Pepo.”[1]
[1] as-Swahiyhah (1542) na Swahiyh Sunan Ibn Maajah.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 279
- Imechapishwa: 04/07/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba kwa wingi:
“Ee Allaah! Niingize Peponi bila hesabu wala adhabu?”
Kwa vile haikupokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Jibu: Huku ni kuchupa mipaka katika kuomba du´aa. Kwa sababu inatambulika kwamba wale watakaoingia Peponi bila hesabu wala adhabu wamehakikisha sharti maalum. Kilichopokelewa ni:
اللهم إني أسألك الجنة
“Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba Pepo.”[1]
[1] as-Swahiyhah (1542) na Swahiyh Sunan Ibn Maajah.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 279
Imechapishwa: 04/07/2022
https://firqatunnajia.com/kumuomba-allaah-akuingize-peponi-bila-hesabu-wala-adhabu/