Swali: Je, mtu ambaye ameanza kutawadha na akamsikia muadhini imesuniwa kwake kumuitikia muadhini au akate wudhuu´?
Jibu: Anaweza kumuitikia na akatawadha. Jambo ni lenye wasaa muda wa kuwa yuko nje ya choo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24501/هل-يشرع-ترديد-الاذان-اثناء-الوضوء
- Imechapishwa: 18/10/2024
Swali: Je, mtu ambaye ameanza kutawadha na akamsikia muadhini imesuniwa kwake kumuitikia muadhini au akate wudhuu´?
Jibu: Anaweza kumuitikia na akatawadha. Jambo ni lenye wasaa muda wa kuwa yuko nje ya choo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24501/هل-يشرع-ترديد-الاذان-اثناء-الوضوء
Imechapishwa: 18/10/2024
https://firqatunnajia.com/kumuitikia-muadhini-wakati-wa-adhaana/