Swali: Je, inafaa kuosha viungo zaidi ya mara tatu katika kutawadha?
Jibu: Hapana, haitakikani. Dogo liwezalo kusemwa ni machukizo. Mara tatu pekee; uso mara tatu, mikono mara tatu na miguu mara tatu. Kuhusu kichwa apanguse mara moja. Hivo ndio Sunnah. Asizidishe mara tatu. Imekuja katika baadhi ya mapokezi:
”Atakayezidisha amefanya vibaya, amevuka mipaka na kufanya dhuluma.”
Sunnah wakati wa kutawadha ni mtu asizidishe mara tatu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24500/حكم-غسل-الاعضاء-اكثر-من-ثلاث-في-الوضوء
- Imechapishwa: 18/10/2024
Swali: Je, inafaa kuosha viungo zaidi ya mara tatu katika kutawadha?
Jibu: Hapana, haitakikani. Dogo liwezalo kusemwa ni machukizo. Mara tatu pekee; uso mara tatu, mikono mara tatu na miguu mara tatu. Kuhusu kichwa apanguse mara moja. Hivo ndio Sunnah. Asizidishe mara tatu. Imekuja katika baadhi ya mapokezi:
”Atakayezidisha amefanya vibaya, amevuka mipaka na kufanya dhuluma.”
Sunnah wakati wa kutawadha ni mtu asizidishe mara tatu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24500/حكم-غسل-الاعضاء-اكثر-من-ثلاث-في-الوضوء
Imechapishwa: 18/10/2024
https://firqatunnajia.com/kuosha-viungo-vya-wudhuu-zaidi-ya-mara-tatu/