Swali: Mtu akitaka kunikabidhi kitu cha haramu inafaa kwangu kukipokea au nikiharibu?
Jibu: Hapana. Mfundishe na umwambie kuwa haijuzu na kwamba analazimika kukiharibu. Usikipokee wewe. Mwambie kuwa haijuzu. Mkatalie kama kwa mfano anataka umuwekee pombe. Ni lazima kuiharibu pombe.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21999/هل-يجوز-لمن-اىتمن-على-محرم-ان-يتلفه
- Imechapishwa: 15/10/2022
Swali: Mtu akitaka kunikabidhi kitu cha haramu inafaa kwangu kukipokea au nikiharibu?
Jibu: Hapana. Mfundishe na umwambie kuwa haijuzu na kwamba analazimika kukiharibu. Usikipokee wewe. Mwambie kuwa haijuzu. Mkatalie kama kwa mfano anataka umuwekee pombe. Ni lazima kuiharibu pombe.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21999/هل-يجوز-لمن-اىتمن-على-محرم-ان-يتلفه
Imechapishwa: 15/10/2022
https://firqatunnajia.com/kumuhifadhia-mtu-kitu-cha-haramu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)