Swali: Mwenye kusema kuwa mlango wa Ijtihaad umefungwa hii leo.
Jibu: Hana khabari. Mlango huo umefungwa kwake yeye na kwa watu mfano wake. Mlango huo umefungwa kwa wajinga. Haukufungwa kwa wanazuoni mpaka pale ambapo Allaah atatuma upepo mzuri uchukue roho za waumini wa kiume na waumini wa kike na kusibaki isipokuwa watu waovu.
Swali: Amesema hivo kwa kuzingatia kutotimia sharti za Mujtahid?
Jibu: Ikiwa sharti hizo hazikutimia kwake basi zimetimia kwa wengine. Ikiwa sharti hizo hazikutimia kwake asifunge mlango.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22011/هل-باب-الاجتهاد-مفتوح-في-هذا-الزمان
- Imechapishwa: 15/10/2022
Swali: Mwenye kusema kuwa mlango wa Ijtihaad umefungwa hii leo.
Jibu: Hana khabari. Mlango huo umefungwa kwake yeye na kwa watu mfano wake. Mlango huo umefungwa kwa wajinga. Haukufungwa kwa wanazuoni mpaka pale ambapo Allaah atatuma upepo mzuri uchukue roho za waumini wa kiume na waumini wa kike na kusibaki isipokuwa watu waovu.
Swali: Amesema hivo kwa kuzingatia kutotimia sharti za Mujtahid?
Jibu: Ikiwa sharti hizo hazikutimia kwake basi zimetimia kwa wengine. Ikiwa sharti hizo hazikutimia kwake asifunge mlango.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22011/هل-باب-الاجتهاد-مفتوح-في-هذا-الزمان
Imechapishwa: 15/10/2022
https://firqatunnajia.com/mlango-wa-ijtihaad-umefungwa-leo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)