Swali: Mwenye kutaliki usiku ule wa kwanza wa ndoa na wala hakumjamii mke wake, je anarudishiwa mahari? Na lipo bora kwake katika hali hii?
Jibu: Haya yakatatuliwe mahakamani. Hapa kuna kuachana kwa kugombana. Yapelekwe mahakamani yatazamwe.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/10012
- Imechapishwa: 02/03/2018
Swali: Mwenye kutaliki usiku ule wa kwanza wa ndoa na wala hakumjamii mke wake, je anarudishiwa mahari? Na lipo bora kwake katika hali hii?
Jibu: Haya yakatatuliwe mahakamani. Hapa kuna kuachana kwa kugombana. Yapelekwe mahakamani yatazamwe.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/10012
Imechapishwa: 02/03/2018
https://firqatunnajia.com/kumuacha-mke-wake-katika-ule-usiku-wa-kwanza-wa-ndoa-bila-ya-kumwingilia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)