Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kuomnyonyesha mtoto wake baada ya miaka miwili? ´Allaamah Muqbil al-Waadi´iy: Sioni ubaya wowote wa hilo. Ama Kauli Yake (Ta´ala):
وَالْوَالِدَاتُ يُرْضِعْنَ أَوْلَادَهُنَّ حَوْلَيْنِ كَامِلَيْنِ
“Na wazazi wa kike wanyonyeshe watoto wao miaka miwili kamili.” (02:233)
Hii ndio aghlabu ya watoto wengi. Lakini lau mtoto atakataa, akamnyonyesha mwezi mmoja, miwili, mitatu au minne, sioni ubaya wowote wa hili.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=756
- Imechapishwa: 02/03/2018
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kuomnyonyesha mtoto wake baada ya miaka miwili? ´Allaamah Muqbil al-Waadi´iy: Sioni ubaya wowote wa hilo. Ama Kauli Yake (Ta´ala):
وَالْوَالِدَاتُ يُرْضِعْنَ أَوْلَادَهُنَّ حَوْلَيْنِ كَامِلَيْنِ
“Na wazazi wa kike wanyonyeshe watoto wao miaka miwili kamili.” (02:233)
Hii ndio aghlabu ya watoto wengi. Lakini lau mtoto atakataa, akamnyonyesha mwezi mmoja, miwili, mitatu au minne, sioni ubaya wowote wa hili.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=756
Imechapishwa: 02/03/2018
https://firqatunnajia.com/kumnyonyesha-mtoto-baada-ya-miaka-miwili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)