Swali: Kumtolea swadaqah maiti.
Jibu: Inamfaa maiti:
“Anapofariki mwanadamu basi matendo yake yote hukatika isipokuwa vitu vitatu; swadaqah yenye kuendelea, elimu ambayo watu wananufaika kwayo au mtoto mwema anayemuombea du´aa.”
Swali: Kutoa swaqadah kipindi cha uhai wake?
Jibu: Akitoa Waqf katika mambo ya kheri itamfaa au mtoto wake au watu wengine wakamtolea swadaqah itamfaa.
Swali: Baada ya kufa kwake?
Jibu: Ndio.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22260/حكم-الصدقة-للميت-وانواعها
- Imechapishwa: 20/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)