Swali: Kumtii mke katika kumuasi Muumba ni aina ya ´ibaadah?
Jibu: Ndio. Kumtii kiumbe katika kumuasi Muumba, ni aina ya ´ibaadah. Ni aina ya ´ibaadah. Hii inaitwa kuwa ni shirki katika utiifu. Lakini sio shirki kubwa inayomtoa mtu katika Uislamu. Lakini ni aina katika shirki. Ni juu yako kutomtii yeyote katika kumuasi Allaah, sawa mke wala mwingine yeyote. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَإِنْ أَطَعْتُمُوهُمْ إِنَّكُمْ لَمُشْرِكُونَ
“Mtakapowatii hakika mtakuwa washirikina.” (06:121)
Hii ni shirki katika utiifu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12869
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Kumtii mke katika kumuasi Muumba ni aina ya ´ibaadah?
Jibu: Ndio. Kumtii kiumbe katika kumuasi Muumba, ni aina ya ´ibaadah. Ni aina ya ´ibaadah. Hii inaitwa kuwa ni shirki katika utiifu. Lakini sio shirki kubwa inayomtoa mtu katika Uislamu. Lakini ni aina katika shirki. Ni juu yako kutomtii yeyote katika kumuasi Allaah, sawa mke wala mwingine yeyote. Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَإِنْ أَطَعْتُمُوهُمْ إِنَّكُمْ لَمُشْرِكُونَ
“Mtakapowatii hakika mtakuwa washirikina.” (06:121)
Hii ni shirki katika utiifu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12869
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/kumtii-mke-katika-kumuasi-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)