Swali: Ni upi usahihi wa maneno yanayosema:
“Hakuna kupendeleana katika ´ibaadah”?
Jibu: Maneno haya yamesemwa na baadhi ya wanachuoni. Baadhi ya wanachuoni wanaona kuwa kupendeleana kunakuwa katika mambo ya kidunia. Ama katika mambo ya ´ibaadah hakuna kupendeleana. Ni kama kwa mfano mtu akajitolea juu ya nafsi yake na akamtanguliza nafasi yake katika safu na ukamtanguliza yeye katika kitu katika ´ibaadah na matendo mema. Wanachuoni wengine wanaona kuwa hakuna neno mtu akampendelea mwengine katika ´ibaadah.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (13) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191589#219913
- Imechapishwa: 18/10/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)