Swali: Je, kuhani na mpiga ramli wanaswaliwa wanapokufa ikiwa yeye anaswali au haswali?
Jibu: Kuhani na mpiga ramli wakifa, ilihali wamo katika hali zao zinazojulikana kwa kudai kujua mambo yaliyojifichikana, hawaswaliwi hata kama wanaswali. Kudai kwao kujua mambo yaliyofichikana ni kufuru kubwa inayobatilisha swalah zao na mambo mengine [yote].
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (407/01)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Je, kuhani na mpiga ramli wanaswaliwa wanapokufa ikiwa yeye anaswali au haswali?
Jibu: Kuhani na mpiga ramli wakifa, ilihali wamo katika hali zao zinazojulikana kwa kudai kujua mambo yaliyojifichikana, hawaswaliwi hata kama wanaswali. Kudai kwao kujua mambo yaliyofichikana ni kufuru kubwa inayobatilisha swalah zao na mambo mengine [yote].
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (407/01)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/kumswalia-swalah-ya-jeneza-kuhani-na-mpiga-ramli/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)