Swali: Je, imamu akimtaja Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) inafaa kumswalia katikati ya Khutbah na kadhalika akimtaja Allaah tuseme “Subhaan Allaah”?
Jibu: Ndio, ikiwa utafanya hivo baina yako wewe na nafsi yako pasi n kunyanyua sauti ni sawa. Kwa sababu hii ni Dhikr. Hakuzingatiwi ni katika maneno ya watu. Hata ndani ya swalah hakupingani na swalah.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (06) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/433/433.mp3
- Imechapishwa: 30/11/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket